Jumapili, 21 Septemba 2014


Mechi  ya kwanza dhidi ya Rulenge_fc  Kasulu United imweza kushinda mabao mawi kwa sifuli dhidi  ambapo goli  zote zimefungwa na #yotham  bada ya kupaya pasi safi kutoka kwa kiongo mshambuliaji Mussa Sudd mnamo dakika ya 37 ya kipindi cha kwanza na dakika 71 ya kipindi cha pili baada ya kumalizia mpira ulipingwa na Hsseni Sund na kumshinda kipa wa Rurunge nguvu na kumpoyuka katika mikono yake .



Na siku ya Leo tarehe 21 mwezi wa September Kasulu unitedi wanakipinga na Ngra Ster ya Mjini Ngara katika Dimba la Kokoto kuanzia majila ya saa kumi kamili za alasili mjini Ngala mkoani KAGERA.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top