Jumapili, 5 Aprili 2015

Timu ya Simba Sc leo jioni imeweka historia mjini Shinyanga baada ya kuwatembelea watoto wenye ulemavu wa ngozi(Albino),wasiosikia na wasioona katika kituo cha Buhangija Jumuishi chenye watoto zaidi ya 370.Pichani ni
Msemaji wa Simba SC, Hajji Manara baada ya kushuka kwenye basi la Simba sc nje ya kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu cha Buhangija mjini Shinyanga-picha zote na Kadama Malunde-Shinyanga.




















  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top