Jumanne, 14 Aprili 2015

MVUA YA ATHILI MAZAO MKOANI SINGIDA.

MVUA YA ZUA BALAAMKOAANI SINGI DA KWA KUTOKUNYESHA KWA WAKATI 
 Witto umetolewa kwa wananchi was mkoa was singida kuwa makini na matumizi ya chakula na kuifadhi chakula ilikuweza kijiwekea akiba ya chakula kwani mazao kwa mwaka huh Kama mahindi yameathilika kwa kutokupa mvua ya kutosha.
 Na haya ni baadhi ya mashamba yaliyo athilika katika manispa ya Singida katika kataa ya Mandewa mkoani singida.
Maji nikitu cha msingi katika maisha yetu hivyo hatuna bundi kulinda vyanzo maji
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: MVUA YA ATHILI MAZAO MKOANI SINGIDA. Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top