Ijumaa, 15 Novemba 2013

MANCHESTER UNITED YAVUNJA REKODI YA MAPATO - YAINGIZA £98.5m NDANI YA MIEZI MITATU TU




Manchester United imevunja rekodi ya makusanyo ya mapato baada ya kuingiza kiasi cha  £98.5m katika miezi mitatu ya kwanza ya mwaka wa fedha. 

Ukuaji wa asilimia 29% wa mapato unakuja baada ya ukuaji wa  63% pato linalotokana na udhamini na pia kutoka kwenye dili za kuuza haki za matangazo ya TV.  
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top