YANGA, MBEYA CITY ZAZISHUSHA SIMBA CHINI NAFASI YA 4!

MATOKEO:
Jumanne
Oktoba 29
Tanzania
Prisons 0 Mbeya City 2
Yanga
3 Mgambo Shooting 0
Rhino
Rangers 1 JKT Ruvu 0
USHINDI
kwa Mabingwa Watetezi Yanga na Mbeya City katika Mechi zao za leo umeishusha
Simba hadi Nafasi ya 4 huku Mbeya City wakikamata Nafasi ya Pili wakiwa Pointi
23 sawa na Vinara Azam FC na Yanga wakishika Nafasi ya Tatu wakiwa na Pointi 22
na Simba kuwa Nafasi ya 4 wakiwa na Pointi 20.
Timu
zote hizo zimecheza Mechi 11 kila mmoja.
Huko
Mjini Mbeya, ambako Timu za Mji huo zilipambana, Mbeya City iliichapa Tanzania
Prisons Bao 2-0.
Jijini
Dar es Salaam kwenye Uwanja wa Taifa, Mabingwa Yanga waliibamiza Mgambo Shooting
Bao 3-0.
Hadi
Mapumziko, Yanga walikuwa mbele kwa Bao 1-0 kwa Bao la Dakika ya 31 la Mbuyu
Twite.
Kipindi
cha Pili, katika Dakika ya 50, Hamis Kiiza alifunga Bao la pili kwa Penati
kufuatia Kipa wa Mgambo kumchezea faulo Didier Kavumbagu.
Bao
la Tatu lilifungwa Dakika ya 67 na Didier Kavumbagu.
VIKOSI:
YANGA: Deogratius Munishi 'Dida', Mbuyu Twite, Oscar Joshua, Rajab
Zahir, Kelvin Yondani, Athuman Idd 'Chuji', Saimon Msuva, Frank Domayo
'Chumvi', Didier Kavumbagu, Mrisho Ngassa, Hamis Kiiza
Akiba:
Ally Mustapha 'Barthez', Ibrahim Job, Nadir Haroub 'Cannavaro', Hamis Thabit,
Reliants Lusajo, Hussein Javu, Jerson Tegete
MGAMBO
SHOOTING: Tony Kavishe, Daud Salum, Bashiri
Chanache, George Akitanda, Bakari Mtama, Novat Lufunga, Malimi Busungu, Peter
Mwalyanzi, Fully Maganga, Omar Yassin, Mohamed Nampoka
RATIBA:
Alhamisi
Oktoba 31
Simba
vs Kagera Sugar
Ijumaa
Novemba 1
JKT
Ruvu vs Yanga
Jumamosi
Novemba 2
Mgambo
Shooting vs Coastal Union
Tanzania
Prisons vs Oljoro JKT
Azam
vs Ruvu Shooting
Mtibwa
Sugar vs Rhino Rangers
Jumapili
Novemba 3
Mbeya
City vs Ashanti United
Jumatano
Novemba 6
JKT
Ruvu vs Coastal Union
Ashanti
United vs Simba
Kagera
Sugar vs Mgambo Shooting
Rhino
Rangers vs Tanzania Prisons
Ruvu
Shooting vs Mtibwa Sugar
Alhamisi
Novemba 7
Azam
vs Mbeya City
Yanga
v JKT Oljoro
MSIMAMO:
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GD
|
GF
|
PTS
|
1
|
Azam FC
|
11
|
5
|
5
|
0
|
10
|
17
|
23
|
2
|
Mbeya City
|
11
|
6
|
5
|
0
|
8
|
15
|
23
|
3
|
Yanga SC
|
11
|
6
|
4
|
1
|
13
|
24
|
22
|
4
|
Simba SC
|
11
|
5
|
5
|
1
|
11
|
21
|
20
|
5
|
Mtibwa Sugar
|
11
|
4
|
4
|
3
|
1
|
16
|
16
|
6
|
Ruvu Shooting
|
11
|
4
|
4
|
3
|
3
|
13
|
16
|
7
|
Kagera Sugar
|
11
|
4
|
4
|
3
|
3
|
12
|
16
|
8
|
Coastal Union
|
11
|
3
|
6
|
2
|
4
|
10
|
15
|
9
|
JKT Ruvu
|
11
|
4
|
0
|
7
|
-1
|
9
|
12
|
10
|
Rhino Rangers
|
11
|
2
|
4
|
5
|
-6
|
9
|
10
|
11
|
Ashanti UTD
|
11
|
2
|
4
|
5
|
-9
|
10
|
10
|
12
|
Prisons FC
|
11
|
1
|
5
|
5
|
-9
|
6
|
8
|
13
|
JKT Oljoro
|
11
|
1
|
4
|
6
|
-8
|
8
|
7
|
14
|
Mgambo Shooting
|
11
|
1
|
2
|
8
|
-18
|
3
|
5
|
MATOKEO:
Jumatatu
Oktoba 28
Simba
1 Azam FC 2
Coastal
Union 3 Mtibwa Sugar 0
Oljoro
JKT 0 Ashanti United 0
Ruvu
Shooting 1 Kagera Sugar 1
0 maoni:
Chapisha Maoni