Jumatatu, 14 Oktoba 2013

Mamia wafariki wakiwa wamezuiliwa Nigeria
 
Mamia ya watu wamefariki katika vituo vya kuwazuilia washukiwa wa uhalifu Kaskazini Mashariki mwa Nigeria huku jeshi likijaribu kupambana vikali na kundi la wapiganaji wa kiisilamu Boko Haram katika eneo hilo.Shirika la kimataifa la Amnesty International linasema kuwa vifo vya baadhi ya vimetokana na msongamano kwenye magereza na wengine kutokana na kukosa chakula na mauaji ya kiholela.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top