Jumatatu, 14 Oktoba 2013

M.FB FROM TANZANIA


1.Take Care
2.Tunaeleweka
Ngoma ya Xonjo inaitwa Beutefull Garl
Ngoma ya Tenz inaitwa Tayari ama Bado




Aidha Bw Mundele ameeleza kuwa baadhi ya wazazi wanaamini kuwa music nikazi za kihuni kituambacho sikweli na kudhani kwamba wanamusic hawana maadili mazuli katika jamii .
Meneja wa kundi hilo Bw. Mundele amesema kuwa usimjaji mtu kwa muonekano bali tambuwa kuwa wasani ni kio cha jamii na Ndio nguzu katika jamii ya leo kwani vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa wanapenda kusikiliza music.
Bw, Mundele amemaliza kwa kusema kuwa umoja unanatakiwa katika wasanii ilikufanya mabadiliko na kuleta maendeleo katia tasinia ya misic wa kizazi kipya.


 Meneja amethibisha kuwa kundi hilo linanidhamu ya hali ya juu kitendo kinacho mpa matumaini ya kufanya vema na kutimiza malengo walijiwekea katia swala zima la music katika  maisha na jamii kwa ujumla.
 Sharifu ambaye pia ni mmoja ya wadongo wanofuliwa na kundi hilo na kuandaliwa kuwa mmoja ya watu watakao fanya mabmbo mazuri katika jami kama kuwa kocha mzuri now ni kocha wa tumu ya wanawake mkoa wa Singida.
 Moja ya picha wakiwa mazoezi M.F.B
 Cheki nembo mojawapo ya MFB ukweri mtupu akisema meneja wa kundi hilo Bw. Mundele

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: M.FB FROM TANZANIA Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top