Jumanne, 29 Oktoba 2013

KASULU UNITED WAKATI WA MAANDALIZI YA KUCHEZA LIGI YA TIFA NGAZI YA MKOA WA KIGOMA

Mchezaji mkongwe wa timu ya kasulu united JUMA SUDDY  akiwa na kinda wa timu hiyo AGUSTINO MUHINI wakipewa pongezi na mashabiki wa soka wa Kabanga baada ya kumaliza mechi yao ya kilafiki na timu ya Kabanga iliyokubali kichapo cha mabao katika mchezo huo.
 




Na hichi nikikosi cha wachezaji na viongozi wa timu hiyo yenye uchu na kucheza ligi kuu Tanzania Bara baada ya Timu Nyingi ambazo zimepitia mgongoni kwake Kama Kagera Sukali Na Coast  Union Tanga  Kuendelea kufanya vizuri Ligi ku Tanzania Bara .


Kocha wa Timu hiyo Bw. Bonifasi Mpagape  ameelza kuqwa kwa sasa timu ikovizuri na anjifunia kuwa na wachezaji wengi katiaka timu mbali mbnali hapa nchini Kuanzia LIGI kuu Tanzania Bara NA ligi DARAJA LA KWANZA

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: KASULU UNITED WAKATI WA MAANDALIZI YA KUCHEZA LIGI YA TIFA NGAZI YA MKOA WA KIGOMA Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top