Jumanne, 10 Februari 2015

NGO‘MBE ALIEZAA KWA UPASUAJI AKIENDELEA KUPATA TIBA KATIKA KIDONDONDA CHAKE.

docter aliyemfanyia ngo‘mbe upasuaji akiendelea kutowa tiba kwa ngo‘‘mbe aliyezaa kwa upasuaji na sasa anandelea kupewa tiba na mganga alimfanyia upasuaji wakati akiwa anazaa baada ya kukaa siku nne akisumbuka ilokuwaza kuza yabila mafaniki 
 Mkurugenzi wa Mradi wa ufugaji kutoka mkoani Singida Nchini TANZANIA Bw.Piter Bina ameambia Bandola.Blogsport.com kuwa myama huyo anaendelea vizuri na ndama wake katika mrandi huo akiwa na ndama wake .

Aidha Bw. Bina amesema kuwa anaendelea vizuri kwa kufata maelekezo anayopewa na wataalam kwa kuzingatia muda na mashalti anayopewa na wataalam.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: NGO‘MBE ALIEZAA KWA UPASUAJI AKIENDELEA KUPATA TIBA KATIKA KIDONDONDA CHAKE. Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top