Kamati kumi nambili zimetajwa katika Bunge maalu la katiba na Mwenmyekiti
wa Bunge hilo Bw . Samwali Sita ambapo kuwa na mabmbo mengi yametokera katika
bunge hilo ambalo watanzania wataraji kupata muongozo wa taifa hili.

Maneno mazuri ya
hekima yaliyotolewa na Baba wa Taifa mwaka 1995. Tanzania imejaa Rushwa na
watanzania wanatakiwa kupambana na rushwa. Tunataka mgombea URAIS ambaye
hashiriki rushwa na atakayekemea Rushwa. Pili alikemea Ukabila na Udini.
Alisisitiza suala la kuimarisha muungano, umoja, upendo na mashikamano. Je!
Watanzania leo mna maoni gani juu ya kauli za baba wa taifa?je!
Yamepitwa na wakati? Mwakani ni uchaguzi je tunafikiria
kumpata mgombea anayeyatambua na kuyakubali haya kuwa ndo kazi yake kuu ya
kuijenga nchi na akapambana na rushwa? Je mnamfikiria mtu atakayelinda na
kuimarisha utaifa na uzalendo na ambaye hatawaza kujiimarisha kiuchumi
akiwasahau wanyonge na kuligawa taifa? Kazi kwetu watanzania kusuka au kunyoa.
0 maoni:
Chapisha Maoni