Jumapili, 22 Desemba 2013

MAWAZIRI WANNE TANZANIA WATUPWA NJE MMOJA AJIUZURU

Waziri wa mali asili na Utalii Balozi Kagasheski, jioni hii ameamua kujiuzuru kufuatia shinikizo kubwa la wabunge waliokuwa wakiijadili taarifa ya uchunguzi wa operesheni Tokomeza iliyokuwa ikidhamilia kutokomeza ujangiri dhidi ya wanyama pori hususani Tembo (Ndovu)

Kagasheki ni miongoni mwa mawaziri wanne waliotuhumiwa na kamati ya bunge ya ardhi maliasili na mazingira waliosababisha uzembe na kutokea kwa mauaji na udharirishaji wakati wa operesheni tokomeza

Iadaiwa kuwa waziri wa Ulinzi, \waziri wa mambo ya ndani na waziri wa Mifugo na uvuvi nao Rais w=amewachukulia hatua
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top