MEXICO YAITANDIKA NEW ZEALAND MABAO 5-1 NA KUKARIBIA KUKATA TIKETI YA BRAZIL.
Mexico imeitandika New Zealand mabao 5-1 kwenye mchezo wa kwanza wa mtoano na kufanikiwa kujiweka kwenye mazingira mazuri ya kufuzu fainali za kombe la dunia mwakani nchini Brazil.
0 maoni:
Chapisha Maoni