Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Nchini (Necta), Dk Joyce
Ndalichako, ameanza likizo ya mwaka mmoja kwa kile kilichoelezwa kuwa anafanya
utafiti juu ya uendeshaji wa mitihani nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam Dk Charles Msonde
ambaye anakaimu nafasi hiyo amesema Dk
Ndalichako amechukua likizo ya mwaka mmoja ambayo itamalizika september mwaka
kesho
Katika kipindi cha mwaka mmoja Ndalichako atakuwa anafanya utafiti
unaohusu uendeshaji wa mitihani nchini na kuangalia suala la matumizi ya alama
za maendeleo za mwanafunzi (continuous assessment (CA)
Hivi karibuni Dr Ndalichako alieleza masuala mbali mbali ambayo nitishio
kwa baraza la mitihani kuwa ni pamoja na
mtazamo wa watu ambao kwa kiasi kikubwa wanakataa ukweli na mabadiriko

0 maoni:
Chapisha Maoni