Refa wa Fifa kuchezesha Simba, Yanga
MWAMUZI Israel Nkongo wa Dar es Salaam amepangwa kuchezesha mechi ya Simba na Yanga itakayofanyika katika Uwanja wa Taifa, Oktoba 20.
Nkongo, ambaye ni mwamuzi mwenye beji ya Fifa, alipigwa na wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Stephano Mwasyika na Nadir Haroub ‘Cannavaro’, katika mechi ambayo Azam walishinda 3-1 wakati timu hizo zilipokutana kwenye Uwanja
MWAMUZI Israel Nkongo wa Dar es Salaam amepangwa kuchezesha mechi ya Simba na Yanga itakayofanyika katika Uwanja wa Taifa, Oktoba 20.
Nkongo, ambaye ni mwamuzi mwenye beji ya Fifa, alipigwa na wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Stephano Mwasyika na Nadir Haroub ‘Cannavaro’, katika mechi ambayo Azam walishinda 3-1 wakati timu hizo zilipokutana kwenye Uwanja
0 maoni:
Chapisha Maoni