Alhamisi, 7 Aprili 2016

KANU AKIFANYA YAKE DAR ES SALAAM LEO

Nahodha wa zamani wa Nigeria 'Super Eagles', Nwankwo Kanu (kulia) aliyewika klabu za Ajax ya Uholanzi na Arsenal ya England, akikata utepe wakati wa uzinduzi wa duka la Kampuni ya StarTimes jengo la Mkuki Mall, barabara ya Nyerere, Dar es Salaam mchana wa leo. Kanu atakuwa nchini kwa ziara ya siku tano. Kulia kwake ni Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania, Lanfang Liao 
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: KANU AKIFANYA YAKE DAR ES SALAAM LEO Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top