Jumatano, 16 Oktoba 2013

CHEKI WALI HAO KTOKA BASERONA  KISHA TAFAKALI MECHI KATI YA SIMA NA YANGA .




Tambwe: Nasikia tu Niyonzima

 

 


STRAIKA wa Simba, Amisi Tambwe amekiri kupata habari kwamba kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima ni mtu hatari uwanjani lakini akadai hahofii chochote.
“Kidogo nimesikia kuwa Niyonzima yupo vizuri lakini sijatazama anavyocheza, pengine ningekuwa naangalia mechi za Yanga ningejua wachezaji wake wakoje.”
“Kwa sasa hata nikitaka kuwajua, haitasaidia kitu kwa sababu hao wana mipango yao na mimi nina mikakati yangu,” alisema Tambwe ambaye timu yake inacheza na Yanga Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa.
Mashabiki wa Simba wanategemea kwamba Tambwe atawaokoa kwa kukata ngebe za Yanga ambayo imekuwa ikitamba kwamba mastraika wake wana kasi zaidi ya Simba.
 

 

Katika mechi tatu za Ligi Kuu za Simba zilizopita Tambwe dhidi ya JKT Ruvu, Ruvu Shooting na Prisons amepachika mabao mawili tu kwa mikwaju ya penalti wakati mechi ya mwisho dhidi ya Prisons waliposhinda bao moja hakufunga. Lakini amewaambia Simba wala hiyo isiwatishe


 

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top