Jumanne, 15 Oktoba 2013

Wachezaji wa Mbeya City wakijadiliana jambo uwanjani. 
Kocha wa timu hiyo, Juma Mwambusi amesisitiza anataka timu hiyo iliyoko kwenye nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi, ikae kileleni japo kwa muda mfupi ili kupandisha morali ya wachezaji kufanya vizuri zaidi katika mechi zijazo. Kocha huyo anaamini kwamba kikosi chake hakitaporomoka tena kurejea kwenye nafasi za chini kwavile wameshakaa vizuri ingawa baadhi yao wanakosa uzoefu.
 
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 maoni:

Chapisha Maoni

Item Reviewed: Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top